Lufthansa yafuta safari 1,700 za ndege Ndege za Shirika la Ndege la Ujerumani Lufthansa. Shirika la Ndege nchini Ujerumani la Lufthansa limetangaza kwamba linafuta safari 1,700 leo na kesho kutokana na mgomo wa marubani. Read more about Lufthansa yafuta safari 1,700 za ndege