Rais Lungu kuwatumbua watendaji wazembe bandarini

Rais Lungu akiagwa katika uwanja wa Ndege wa Julius Nyerere muda mfupi kabla ya kuondoka

Rais wa Zambia Edgar Lungu amesema hatasita kuwachukulia hatua za kinidhamu watendaji wabovu wanaoshindwa kusimamia bandari ya nchi kavu ya kupokea na kusafirisha mizigo kwenda Zambia.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS