Nassor Idrissa ateuliwa kuwa Mwenyekiti Azam FC Nassor Idrissa - Mwenyekiti mpya Azam FC Aliyekuwa Makamu Mwenyekiti wa Klabu ya Azam Nassor Idrissa, ameteuliwa kuwa Mwenyekiti mpya wa timu hiyo akirithi mikoba ya Alhaji Said Mohamed Abeid, aliyefariki dunia mwanzoni mwa mwezi huu. Read more about Nassor Idrissa ateuliwa kuwa Mwenyekiti Azam FC