Timu ya Chapecoense(kushoto), ikiwa ndani ya ndege, huku juu (kulia) ikionesha ndege hiyo iliyoanguka na upande wa chini na waokoaji wakiwa wamembeba mchezaji wa timu hiyo, aliyenusurika kati ya watu 6 waliopona, Alan Ruschel
Ndege iliyobeba watu 81, wakiwemo wachezaji wa klabu moja ya soka ya Chapecoense kutoka nchini Brazil, imeanguka eneo la Medellin nchini Colombia asubuhi ya leo.