Ndege yaanguka Colombia ikiwa na wachezaji

Timu ya Chapecoense(kushoto), ikiwa ndani ya ndege, huku juu (kulia) ikionesha ndege hiyo iliyoanguka na upande wa chini na waokoaji wakiwa wamembeba mchezaji wa timu hiyo, aliyenusurika kati ya watu 6 waliopona, Alan Ruschel

Ndege iliyobeba watu 81, wakiwemo wachezaji wa klabu moja ya soka ya Chapecoense kutoka nchini Brazil, imeanguka eneo la Medellin nchini Colombia asubuhi ya leo.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS