Serikali yabadili vitabu vya kufundishia mashuleni

Vitabu

Wizara ya Elimu, Sayansi na Teknolojia nchini imetoa vitabu vipya vya kiada kwa elimu ya msingi na sekodari ambayo itatumika katika mtaala mpya wenye maudhui yatakayomuwezesha mwanafunzi kuwa na ujuzi na uwezo wa kujitegemea mara baada ya kuhitimu.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS