Maxence Melo asomewa mashitaka, arudishwa rumande
Mkurugenzi Mtendaji wa Mtandao wa Jamii Forums Maxence Melo Mubyazi aliyekuwa anashikiliwa na polisi, amefikishwa leo katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu Jijini Dar es Salaam na kusomewa mashtaka matatu mbele ya mahakimu watatu tofauti.
