Kikosi cha watoto U-13 chazungushwa mikoani

Kikosi cha timu ya taifa ya vijana U13 na baadhi ya viongozi wakiwa Uwanja wa Amaan Zanzibar

Kocha wa Timu ya Taifa ya Vijana chini ya umri wa miaka 13 Oscar Mirambo amesema, anaamini ziara wanazoendelea nazo pamoja na mechi za kirafiki zitasaidia timu kuweza kufanya vizuri na kufikia malengo waliyojiwekea katika soka la Tanzania.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS