Wanachuo wavamiwa na kubakwa

Polisi katika eneo la Embu Magharibi nchini Kenya, wameanzisha uchunguzi wa tukio la kubakwa kwa wanafunzi watano wa vyuo, baada ya kuvamiwa na kundi la vijana takriban 10 na kuwaibia mali zao na kisha kuwabaka.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS