Panya wawa kikwazo Morogoro
Wakulima wa Kata ya Kiberege Wilayani Kilombero mkoani Morogoro, wamejikuta katika wakati mgumu, baada ya mazao yao kuvamiwa na panya waharibifu, na kusababisha uharibifu mkubwa katika mazao ya mpunga na mahindi ambayo wameyapanda katika msimu huu.