Panya wawa kikwazo Morogoro

Wakulima wa Kata ya Kiberege Wilayani Kilombero mkoani Morogoro, wamejikuta katika wakati mgumu, baada ya mazao yao kuvamiwa na panya waharibifu, na kusababisha uharibifu mkubwa katika  mazao ya mpunga na mahindi ambayo wameyapanda katika msimu huu.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS