Yanga yashinda, yaishusha Azam FC Mabingwa watetezi wa ligi kuu soka Tanzania Bara Yanga SC wameibuka na ushindi wa mabao 2-0 ugenini dhidi ya Lipuli FC kwenye mchezo wa raundi ya 16 uliomalizika kwenye dimba la Samora Iringa. Read more about Yanga yashinda, yaishusha Azam FC