Zitto Kabwe awapa neno CCM na CHADEMA

Mbunge wa Kigoma Mjini kupitia chama cha ACT-Wazalendo, Zitto Zuberi Kabwe, ameviomba vyama vya Chadema na CCM kusimamisha kampeni za uchaguzi mdogo wa ubunge na udiwani kwa siku tatu kuomboleza kifo cha Mzee Kingunge Ngombale Mwiru.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS