"Tupo tayari kwa mapambano"- Cannavaro

Nahodha wa Mabingwa Watetezi wa Ligi Kuu Tanzania Bara Yanga, Nadir Haroub 'Cannavaro' amefunguka na kudai kikosi chao kimejipanga vizuri katika mchezo wa marudiano wa ligi ya mabingwa Afrika dhidi ya St. Louis unaotarajiwa kufanyika kesho (Jumatano)

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS