"Tupo tayari kwa mapambano"- Cannavaro
Nahodha wa Mabingwa Watetezi wa Ligi Kuu Tanzania Bara Yanga, Nadir Haroub 'Cannavaro' amefunguka na kudai kikosi chao kimejipanga vizuri katika mchezo wa marudiano wa ligi ya mabingwa Afrika dhidi ya St. Louis unaotarajiwa kufanyika kesho (Jumatano)

