Salum Mwalim ahofia kubomolewa

Mgombea Ubunge wa Jimbo la Kinondoni kupitia tiketi ya Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) Salum Mwalimu.

Mgombea Ubunge wa Jimbo la Kinondoni (CHADEMA) Salum Mwalimu amesema biashara ya kuvunjiwa nyumba wananchi wa jimbo hilo imefika mwisho kwa madai yeye binafsi hofu na adhabu ya kuvunjiwa anaifahamu kwa maana anaishi maeneo hayo.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS