Magufuli ataka wanaopigana kumalizana tofauti zao Rais Dkt. John Magufuli ametoa wito kwa nchi ya Sudani Kusini kumaliza tofauti zake walizokuwa nazo ili wananchi wa nchi hiyo waweze kujikita katika kulijenga taifa hilo. Read more about Magufuli ataka wanaopigana kumalizana tofauti zao