Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Vijana watatu kunyongwa baada ya kumuua Mwanajeshi

Wednesday , 21st Sep , 2022

Mahakama Kuu ya Tanzania Kanda ya Morogoro, imewahukumu watu watatu kati ya tisa waliokuwa wakikabiliwa na kesi ya mauaji ya Ofisa wa Jeshi la Wananchi wa Tanzania (JWTZ), anayefahamika kwa jina la Leonard Enyimba Yamakwa kwa makusudi.

Vijana watatu waliohukumiwa kunyongwa

Wauaji hao baada ya kumuua Mwanajeshi huyo walimbaka mpenzi wake akiwa juu ya mwili wa marehemu na kisha kutoweka na pikipiki na simu ya mwanajeshi huyo.

Msajili wa Mahakama ya Rufani, Selvester Kahinda amesoma hukumu hiyo na kusema Mahakama imejiridhisha pasipo kuwa na shaka lolote kuwa watu hao ambao ni Charles Expedito, Hassan Athuman na Alfredy Dotto walimuua marehemu kwa makusudi hivyo adhabu yao ni kufa kwa kunyongwa.

Kahinda amesema awali kesi hiyo  namba 6 ya mwaka 2020 na kwamba kosa hilo lilifanyika Mei 25, 2019 majira ya saa 12:00 jioni eneo mashamba ya mkonge Tungi, Manispaa ya Morogoro.

Amesema kesi hiyo inawahusisha washtakiwa tisa na kati yao sita wameachiwa huru kwa sababu upande wa Jamhuri umeshindwa kuthibitisha kama kulikuwa na nia ya pamoja ya kutenda kosa la mauaji.

Hivyo kwa kukosekana kwa uthibitisho wa uhusika kwa washtakiwa namba nne hadi tisa waliachiwa huru ambao ni Juma Saidi, Yusuph Saidi, Mbaya Edward, Mnambo Maiko, Rehema Kibwana na Daudi Chilogo.

 

HABARI ZAIDI

Kaimu Mkurugenzi wa ufuatiliaji na uzingatiaji sheria NEMC,

Wamiliki wa Hospitali nchini wapewa siku 90

Baadhi ya Wakazi wa Kata ya Madanga Mkoani Tanga

Wagoma kubeba mimba kwa kukosa huduma za afya

Mkuu wa mkoa wa Songwe Daniel Chongolo

Wanafunzi 194 washika mimba ndani ya mwezi mmoja

Mabaki ya gari aina ya Noah iliyopata ajali Morogoro

Ajali yachukua uhai wa watu saba Morogoro

Waziri wa Fedha Dkt. Mwigulu Lameck Nchemba

Wawekezaji wawekeze sekta za uzalishaji - Nchemba

Muonekano wa Kiburugwa ambako Nyumba zaidi ya Tisa Zimebomolewa na Maporomoko ya Tope

Maporomoko ya udongo yasomba nyumba 9 Mbagala

Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Mhe. Dkt. Doto Biteko

Serikali yaipongeza Red Cross