Bangi
Kamanda Shani ameyasema hayo wakati akizungumza na wananchi wa Majimoto, kuhusu tabia zao za kulima bangi na kusema pia wapo baadhi ya wananchi hao walipanda bangi katikati ya hifadhi hiyo karibu na Mto Kavuu, mashamba ambayo baadhi yake walifanikiwa kuyateketeza mwezi Julai, 2021.
Tazama video hapa chini