Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Mbinu hii mpya kuvutia uwekezaji nchini

Wednesday , 12th May , 2021

Katibu Mkuu ofisi ya Waziri Mkuu (Uwekezaji) Prof. Godius Kahyarara amesema uzinduzi wa Kituo Cha huduma kwa wateja utapunguza gharama na mizunguko kwa wawekezaji ambao wamekuwa wakifika hapa nchini.

Kulia Katibu Mkuu ofisi ya Waziri Mkuu (Uwekezaji) Prof Godius Kahyarara, Kushoto ni Kituo cha Uwekezaji Tanzania

Kauli hiyo ameitoa mara baada ya kuzindua Kituo hicho Cha huduma kwa wateja kilichopo katika Kituo Cha Uwekezaji Nchini Tanzania TIC ambapo amesema kwa kipindi chote sasa kupitia Kituo hicho wawekezaji watapata nafasi ya kupata taarifa zote za kiuwekezaji kupitia simu.

"Sasa hivi uwepo wa Kituo hiki Cha huduma kwa wateja kitawasaidia wenye uhitaji wa kuwekeza kupata taarifa sahihi wakati wote hii pia ikipunguza gharama na muda wa wawekezaji kuzunguka" amesema Prof. Kahyarara

Aidha amesema kuwa awali Kituo hicho hakikuwepo lakini kutokana na nia ya serikali ya kuongeza wawekezaji imelazimika kufungua Kituo hicho ili kuhakikisha wawekezaji wanapatiwa huduma stahiki kwa wakati.

Kwa upande wake Mkurugenzi mkuu wa sekta binafsi idara ya wanachama Zaki Mbena amesema Wawekezaji wanapenda mazingira rafiki kama hayo.

HABARI ZAIDI

Bashiri Mohamed (35) Mwenye Koti Jeusi akiwa anafikishwa Mahakamani Ilemela, Jijini Mwanza

Aliyezini na binti yake apandishwa kizimbani

Wilman Kapenjama Ndile, Mkuu wa Wilaya ya Songea

DC Kapenjama ataka uaminifu kwa wakulima Songea

Kassim Majaliwa, Waziri Mkuu wa Tanzania

Wanahabari wasisitizwa kuzingatia maadili ya kazi

Wilman Kapenjama Ndile, Mkuu wa Wilaya ya Songea

DC atangaza msako kuwaondoa walinzi wazee kazini

Rose Senyagwa, Mchambuzi wa Masuala ya Hali ya Hewa kutoka TMA

Kimbunga "IALY" kinazidi kusogea Pwani ya bahari