Elias anadaiwa kutenda kosa hilo Februari 19, 2024 huko Wanging'ombe mkoa wa Njombe, ambapo katika hukumu iliyosomwa na Hakimu Jaji Jamsi Emmanuel Mhone Mahakama imejiridhisha na ushahidi uliotolewa na kumkuta na hatia.
Hata hivyo, Mahakama imetoa hukumu ya miaka 30 jela ili iwe fundisho kwa watu wengine wanaojihusisha na vitendo hivyo vya ukatili.