
Ruby Band
Kundi hili linaloundwa na Sumalay, Maya, Kwea Pipa na C Minor chini ya Madam Ruby katika story na eNewz, pia wamefafanua maana ya ngoma ya Kisebusebu na vilevile kuahidi ladha kali zaidi kuanzia mwaka ujao.
Wakiongea kwa pamoja na eNewz, Bendi hii imewaahidi mashabiki wake kazi mpya kali kuanzia mwezi wa kwanza mwaka ujao huku wakifunga mwaka vizuri kabisa na Kisebusebu.