Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Tusione kifungashio kisichokuwa na viwango - NEMC

Sunday , 18th Apr , 2021

Baraza la Uhifadhi na Usimamizi wa Mazingira nchini (NEMC) limesema kuwa kuanzia kesho Jumatatu ya April 19 vifungashio visivyokuwa na ubora ambavyo vimezuiwa kutumika havitakiwi kuonekana sokoni na endapo Mfanyabishara au mteja akimatwa adhabu yake ni faini au kifungo jela.

Kulia ni Mkurugenzi Mkuu wa NEMC Dkt. Samuel Gwamaka, kushoto ni mifano ya vifungashio vya plastiki (picha kutoka mtandaoni)

Akizungumza na wanahabari Mkurugenzi Mkuu wa NEMC Dkt. Samuel Gwamaka amesema kuwa muda uliotolewa na Baraza umekwisha hivyo kinachoendelea sasa ni utekelezaji kama walivyokubaliana na kwassa tiyarai uelewa juu ya vifungashio visivyokuwa na viwango ni vipi kimeshaeleweka 

"Tunaamini kabisa kwamba kwenye masoko, viwanda hatutegemei kuona kifungashio kisichokuwa na kiwango au anuani ya mtengenezaji, kisochukuwa na ruhusa ya tbs,  kuanzia jumatatu tusione kifungashio kisichokuwa na kiwango elimu tumeiotoa na tunaendelea kuitoa, tarehe 8 amabyo ilikuwa mwisho ishapita sasa lakini tumejaribu kuwa waungwana tunaelimisha watu, kuanzia jumatatu tusikione hata hiki kimoja tukikikuta utachukuliwa hatua kwa mujibu wa kanuni la katazo la mifuko ya plastiki na vifungushio la mwaka 2019" amesema Dkt.Gwamaka

Amesema kuwa vifungashio vipya ni rafiki kwa Mazingira hivyo kwa kuzingatia hilo Watanzania kwa pamoja watayatunza Mazingira na iliviingie sokoni lazima vifungashio visivyokuwa na viwango vitoke sokoni

"Ili vifungashio vilivyokidhi viwango viingie sokoni lazima vifungashio visivyokuwa na viwango vitoke sokoni, sasa wewe ulienavyo wasilisha hivyo vifungashio haraka sana kwenye ofisi za NEMC, ofisi za kata au mtendaji ikifika jumatatu tusione kifungashio kisichokuwa na viwango" amesema Dkt.Gwamaka
 

HABARI ZAIDI

Mkuu wa mkoa wa Songwe Daniel Chongolo

Wanafunzi 194 washika mimba ndani ya mwezi mmoja

Mabaki ya gari aina ya Noah iliyopata ajali Morogoro

Ajali yachukua uhai wa watu saba Morogoro

Waziri wa Fedha Dkt. Mwigulu Lameck Nchemba

Wawekezaji wawekeze sekta za uzalishaji - Nchemba

Muonekano wa Kiburugwa ambako Nyumba zaidi ya Tisa Zimebomolewa na Maporomoko ya Tope

Maporomoko ya udongo yasomba nyumba 9 Mbagala

Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Mhe. Dkt. Doto Biteko

Serikali yaipongeza Red Cross

Waziri wa TAMISEMI Mohamed Mchengerwa

Aonya wanaochangia watumishi kutopanda madaraja

Edgar Lungu, Rais wa Zamani Nchini Zambia Akitembea Kuzunguka Mji Mkuu wa Lusaka

Rais wa zamani Zambia Bw. Lungu hatarini kukamatwa