Huyu Mzee Kisauji anayetrend
Akipiga stori na EATV & EA Radio Digital, Mzee Kisauji amesema atagharamia kila kitu kwenye kumbukumbu ya kuzaliwa kwake ambayo atakuwa anatimiza miaka 57 ili aifanyie TikTok kwa kuwa ndiyo umempa umaarufu.
"Nimezaliwa mwaka 1964, nina mke mmoja na watoto 7 birthday yangu nitaifanya TikTok nitaigaharamia kwa fedha zangu maana ninazo, wapenzi wangu nawaandalia kila kitu kwenye party yangu wao wasije na chochote na huko mitandaoni siwezi kutoka hata wanifanye nini" amesema Mzee Kisauji
Mengine aliyoyazungumza tazama hapa chini kwenye video.