Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

DC ahimiza walimu kuendeleza zoezi la unawaji

Thursday , 19th Nov , 2020

Katika kuadhimisha kilele cha Wiki ya Choo Duniani na Unawaji wa Mikono jamii imeshauriwa kujali afya na mazingira ikiwa ni pamoja na kunawa mikono kwa maji safi na salama na matumizi bora ya choo ili kuepukana na maradhi.

Mkuu wa wilaya ya Ilala, Ng'wilabuzu Ludigija.

Akizungumza leo Jijini Dar es Salaam katika maadhimisho hayo Mkuu wa wilaya ya Ilala Ng'wilabuzu Ludigija, amesema pamoja na jitihada zilizofanywa na Manispaa ya Ilala na wadau wamaendeleo ya afya bado kunachangamoto ya unawaji mikono ambapo mwitikio umekuwa mdogo na kuwataka walimu kuendelea na zoezi la unawaji wa mikono mashuleni.

Kwa upande wake Meneja Miradi ya Mazingira na Usafi wa Afya (AMREF), Mhandisi Mtuli James, amesema bado kuna changamoto ya elimu juu ya choo bora kwa jamii hivyo wana mkakati wa kuendeleza elimu ya matumizi ya vyoo bora ambapo mpaka sasa wamefikia watu 10,000 kwa kaya na watu wasiopungua 60,000.

Naye Balozi wa Kampeni ya Nyumba ni Choo, Mrisho Mpoto, amesema malengo ya kufanya madhimisho hayo ni kuweza kuwafikia watu wengi na kuwapa elimu ambapo amewapongeza Watanzania kwa kuwa na mwamko choo bora na kunawa mikono ili kuondokana na tamaduni za kizamani na kuleta matokeo chanya.

HABARI ZAIDI

Bashiri Mohamed (35) Mwenye Koti Jeusi akiwa anafikishwa Mahakamani Ilemela, Jijini Mwanza

Aliyezini na binti yake apandishwa kizimbani

Wilman Kapenjama Ndile, Mkuu wa Wilaya ya Songea

DC Kapenjama ataka uaminifu kwa wakulima Songea

Kassim Majaliwa, Waziri Mkuu wa Tanzania

Wanahabari wasisitizwa kuzingatia maadili ya kazi

Wilman Kapenjama Ndile, Mkuu wa Wilaya ya Songea

DC atangaza msako kuwaondoa walinzi wazee kazini

Rose Senyagwa, Mchambuzi wa Masuala ya Hali ya Hewa kutoka TMA

Kimbunga "IALY" kinazidi kusogea Pwani ya bahari