Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Aliyekuwa ananunua mahindi kwa bei juu akamatwa

Saturday , 14th Nov , 2020

Jeshi la Polisi mkoa wa Ruvuma, linamshikilia Christopher Njako (20), maarufu kama Bilionea wa Mkako kwa kosa la kutakatisha fedha baada ya kufanya biashara ya mahindi, akinunua mahindi hayo kwa zaidi ya Tsh. 70,000 kwa kila gunia na kisha kuuza kwa Tsh. 42,000 kwa kila gunia.

Kamanda wa Polisi mkoa wa Ruvuma, ACP Simon Marwa Maigwa.

Akizungumza na EATV Kamanda wa Polisi mkoa wa Ruvuma, ACP Simon Marwa Maigwa, amesema kuwa baada ya wananchi kuona kijana huyo akinunua mahindi kwa bei nzuri walianza kumuamini na kukimbilia kwake kuuza mahindi, huku wengine wakimkopesha lakini alishindwa kuwalipa hela zao na ndipo malalamiko yalipoanza.

"Biashara imekwenda ilipofika mwanzoni mwa mwezi wa 10, yakajitokeza malalamiko kwamba kuna watu wanamdai, kamati ya ulinzi na usalama ya mkoa ikamsimamisha kununua mahindi ili alipe kwanza madeni ya wakulima na wafanyabiashara wa mahindi lakini alikuwa anatoa ahadi zisizotetelezeka", amesema ACP Maigwa.

Aidha Kamanda Maigwa ameongeza kuwa, " Alijaribu kutoroka kitendo ambacho kiliashiria kabisa ni nia mbaya, watu wanaomdai ni zaidi ya 1200 na pesa anazodaiwa kuwa ni zaidi ya Bilioni 1.3, kitendo hicho kilileta mashaka baada ya hapo alikamatwa kwa makosa ya kujipatia fedha kwa njia ya udanganyifu, utakatishaji wa fedha na atafikishwa mahakamani".
  

HABARI ZAIDI

Bashiri Mohamed (35) Mwenye Koti Jeusi akiwa anafikishwa Mahakamani Ilemela, Jijini Mwanza

Aliyezini na binti yake apandishwa kizimbani

Kiwanda cha sukari Mtibwa

11 wafariki dunia kiwanda cha Mtibwa

Wilman Kapenjama Ndile, Mkuu wa Wilaya ya Songea

DC Kapenjama ataka uaminifu kwa wakulima Songea

Kassim Majaliwa, Waziri Mkuu wa Tanzania

Wanahabari wasisitizwa kuzingatia maadili ya kazi

Wilman Kapenjama Ndile, Mkuu wa Wilaya ya Songea

DC atangaza msako kuwaondoa walinzi wazee kazini

Rose Senyagwa, Mchambuzi wa Masuala ya Hali ya Hewa kutoka TMA

Kimbunga "IALY" kinazidi kusogea Pwani ya bahari