Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Wanahisa wa Vodacom PLC kupata gawio la tsh 178.57

Monday , 21st Sep , 2020

Kampuni ya mawasiliano ya simu za mikononi inayoongoza Tanzania, Vodacom Tanzania PLC imetangaza pendekezo la kutoa gawio la maalumu la shilingi 178.57 kwa wanahisa wake ikiwa ni baada ya muda mrefu kutoa gawio hilo.

 

Akizungumzia kutolewa kwa gawio hilo Afisa mtendaji wa DSE Moremi Marwa amesema kuwa huo ni muendelezo wa makampuni yaliyowekeza ikiwa na lengo la kuwapa motisha wawekezaji wake na kuwa hiyo imetolewa baada ya makubaliano na hivyo kuletaq athari chanya katika bei za hisa zake katika soko.

"Kampuni hiyo ikiwa ni miongoni mwa kampuni nyingi zilizoorodheshwa katika soko wanalazimika kufanya hivyo kwa wateja wake mara moja au mara mbili kwa mwaka kulingana na mafanikio yao katika biashara pendekezo lao litajadiliwa mwezi Oktoba kisha kutoa gawio kwa wanahisa wake" alisema

Amesema licha ya kuwepo kwa idadi ndogo ya wawekezaji wa nje katika wiki iliyoishia Septemba 18 uwekezaji uliongezeka hadi kufikia bilioni 45 ikilinganishwa na bilioni 13.3 katika wiki iliyoishia Septemba 11.

HABARI ZAIDI

Mkuu wa mkoa wa Songwe Daniel Chongolo

Wanafunzi 194 washika mimba ndani ya mwezi mmoja

Mabaki ya gari aina ya Noah iliyopata ajali Morogoro

Ajali yachukua uhai wa watu saba Morogoro

Waziri wa Fedha Dkt. Mwigulu Lameck Nchemba

Wawekezaji wawekeze sekta za uzalishaji - Nchemba

Muonekano wa Kiburugwa ambako Nyumba zaidi ya Tisa Zimebomolewa na Maporomoko ya Tope

Maporomoko ya udongo yasomba nyumba 9 Mbagala

Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Mhe. Dkt. Doto Biteko

Serikali yaipongeza Red Cross

Waziri wa TAMISEMI Mohamed Mchengerwa

Aonya wanaochangia watumishi kutopanda madaraja

Edgar Lungu, Rais wa Zamani Nchini Zambia Akitembea Kuzunguka Mji Mkuu wa Lusaka

Rais wa zamani Zambia Bw. Lungu hatarini kukamatwa