Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Ukosefu wa ajira wafungua wasomi kwenye fursa mpya

Monday , 21st Sep , 2020

Wakati vijana wengi wasomi wakiendelea kuhangaika na ajira rasmi katika taasisi na kampuni wapo wengine walioona fursa katika ujasiriamali licha ya changamoto ya masoko na mitaji.

EATV imekutana na kikundi cha wasichana watatu ambao wote ni wahitimu wa vyuo mbalimbali Jijini Dar es Salaam baada ya kukosa ajira zinazoendana na taaluma yao wakaamua kuungana na kufanya ujasiriamali wa uuzaji wa bidhaa za nguo, viatu na vito vya thamani.

“Sisi tulianza kidogo kidogo kuanzia chuoni na hii ilitokana na wengi waliotupiata madarasa kuzidi kulalamikia kukosa ajira mtaani, tumejiendeleza mpaka sasa hivi hatuwezi kulalamika kwakweli yinayaona mafanikio”alisema Liliani Ludovick mjasiriamali

Licha ya kuanza biashara hiyo ambayo kwa kipindi kirefu wamekuwa wakifanya kwa njia ya mtandao wanasema suala la mitaji na mwamko kutoka kwa wazazi kukubali wao kufanya biashara limekuwa ni changamoto kubwa huku wakitoa wito kwa wasomi wengine kuchangamkia fursa zilizopo.

“Kiukweli wazazi mwanzoni hawakupendezwa na jambo hili haswa baada ya kuwa na mategemeo makubwa katika masomo yetu wakitegemea kuwepo katika ajira rasmi, ila baadae walielewa na sasa wanatupa motisha kusonga mbele tunaamini ipo siku tutamiliki maduka makubwa “ alisistiza Marietha Mbunda

 

HABARI ZAIDI

Mkuu wa mkoa wa Songwe Daniel Chongolo

Wanafunzi 194 washika mimba ndani ya mwezi mmoja

Mabaki ya gari aina ya Noah iliyopata ajali Morogoro

Ajali yachukua uhai wa watu saba Morogoro

Waziri wa Fedha Dkt. Mwigulu Lameck Nchemba

Wawekezaji wawekeze sekta za uzalishaji - Nchemba

Muonekano wa Kiburugwa ambako Nyumba zaidi ya Tisa Zimebomolewa na Maporomoko ya Tope

Maporomoko ya udongo yasomba nyumba 9 Mbagala

Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Mhe. Dkt. Doto Biteko

Serikali yaipongeza Red Cross

Waziri wa TAMISEMI Mohamed Mchengerwa

Aonya wanaochangia watumishi kutopanda madaraja

Edgar Lungu, Rais wa Zamani Nchini Zambia Akitembea Kuzunguka Mji Mkuu wa Lusaka

Rais wa zamani Zambia Bw. Lungu hatarini kukamatwa