Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Msuva atabiriwa makubwa

Monday , 17th Jul , 2017

Kiungo wa timu ya mabingwa ligi kuu Tanzania Bara na Taifa Stars Simon Msuva amepewa sifa na Kocha msaidizi wa timu ya taifa ya Rwanda, Mashami Vincent kuwa ni mmoja ya wachezaji wanaofanya vizuri na kumtabiria kufika mbali.

Kiungo wa timu ya mabingwa ligi kuu Tanzania Bara na Taifa Stars Simon Msuva.

Vicent alitoa salamu hizo muda mchache kumalizika kwa mchezo wa kwanza wa kufuzu michuano ya African Nations Championship (CHAN) 2017 ambapo ulimalizika kwa timu zote kutoka sare ya kufungana bao 1-1 kati ya Taifa Stars dhidi ya Amavubi ya Rwanda mchezo uliopigwa leo CCM Kirumba, Jijini Mwanza.
"Msuva ni moja ya wachezaji wazuri ninaowafahamu kutoka Tanzania kwa muda mrefu naamini kwa kiwango chake atafika mbali kama ataendeleza juhudi zake za kucheza mpira kama hivi", amesema Vicent.

Kwa upande mwingine, Msuva ni miongoni mwa wachezaji wa timu ya taifa ambao kwa muda mrefu amekuwa akiaminiwa na makocha wa timu ya taifa pamoja na klabu yake ya Yanga

HABARI ZAIDI

Bashiri Mohamed (35) Mwenye Koti Jeusi akiwa anafikishwa Mahakamani Ilemela, Jijini Mwanza

Aliyezini na binti yake apandishwa kizimbani

Kiwanda cha sukari Mtibwa

11 wafariki dunia kiwanda cha Mtibwa

Wilman Kapenjama Ndile, Mkuu wa Wilaya ya Songea

DC Kapenjama ataka uaminifu kwa wakulima Songea

Kassim Majaliwa, Waziri Mkuu wa Tanzania

Wanahabari wasisitizwa kuzingatia maadili ya kazi

Wilman Kapenjama Ndile, Mkuu wa Wilaya ya Songea

DC atangaza msako kuwaondoa walinzi wazee kazini

Rose Senyagwa, Mchambuzi wa Masuala ya Hali ya Hewa kutoka TMA

Kimbunga "IALY" kinazidi kusogea Pwani ya bahari