Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

"Sisi 'wabongo' tunapimana mafanikio" - Wakazi

Friday , 28th Jun , 2019

Nguli wa muziki wa Hip Hop nchini, Webiro Wassira maarufu kama 'Wakazi', amezungumzia tabia ya watu kufuatilia maisha ya wengine na kuyapima kwa muonekano wa nje tofauti na uhalisia.

Wakazi

Amesema hayo katika kipindi cha DADAZ cha EATV, alipokuwa akielezea historia ya maisha aliyokulia kwa wazazi wake na jinsi alivyokuwa akitatishwa tamaa kuwa hatoweza kufanikiwa kirahisi katika kazi yake.

"Mimi nimekulia katika mazingira magumu, hatukukua kwenye maisha ya kusema 'I love you', tumelelewa kijeshijeshi sana ndio maana niko kigumu lakini sio kwa sababu nafanya hip hop", amesema.

"Kibongo bongo au Kiafrika tunapimana mafanikio kutokana na vitu ambavyo tunaviamini kuwa ndiyo mafanikio yenyewe, mfano kuwa na nyumba, gari, kuoa au kuolewa. Unakuta mtu anaweza kukwambia moja kwa moja na mwingine hatokwambia, mwingine anakwambia 'we si umesomea kitu fulani kwanini usifanye'?, wakati anajua mimi ninafanya muziki", ameongeza Wakazi.

"Lakini mimi naelewa kwa sababu nimeishi kwenye nchi za ulimwengu wa kwanza, unakuta mtu hakuulizi unamiliki nini, una mpenzi au la, bali atakuuliza 'are you happy?'".

Mtazame hapa akizungumza zaidi.

HABARI ZAIDI

Bashiri Mohamed (35) Mwenye Koti Jeusi akiwa anafikishwa Mahakamani Ilemela, Jijini Mwanza

Aliyezini na binti yake apandishwa kizimbani

Wilman Kapenjama Ndile, Mkuu wa Wilaya ya Songea

DC Kapenjama ataka uaminifu kwa wakulima Songea

Kassim Majaliwa, Waziri Mkuu wa Tanzania

Wanahabari wasisitizwa kuzingatia maadili ya kazi

Wilman Kapenjama Ndile, Mkuu wa Wilaya ya Songea

DC atangaza msako kuwaondoa walinzi wazee kazini

Rose Senyagwa, Mchambuzi wa Masuala ya Hali ya Hewa kutoka TMA

Kimbunga "IALY" kinazidi kusogea Pwani ya bahari