Wananchi wakiomboleza msibani kwa Akwii alie uwawa kwa kupigwa kwa kitu kinachosadikika kuwa ni nondo kichwani

11 Oct . 2024

Wananchi wakiomboleza msibani kwa Akwii alie uwawa kwa kupigwa kwa kitu kinachosadikika kuwa ni nondo kichwani

11 Oct . 2024

Taifa Stars inashika nafasi ya pili kwenye kundi H nyuma ya Congo DRC yenye alama 9 ikiwa imecheza michezo mitatu sawa na idadi ya Stars iliyojikusanyia alama 4 iliyo nafasi ya pili. Timu ya taifa ya Tanzania imepoteza mchezo ugenini dhidi ya Congo DRC kwa goli 1-0, mchezo wa marudiano wa kufuzu michuano ya AFCON 2025 unatarajiwa kuchezwa Oktoba 15, 2024 Uwanja wa Benjamini Mkapa Jijini Dar es salaam.

11 Oct . 2024

Nahodha wa timu ya timu ya taifa ya Ureno ameitumikia timu hiyo michezo 214 akifunga goli 132. Akiwa amedumu kwenye timu hiyo mabingwa wa ubingwa wa mataifa ya Ulaya UEFA EURO 2016,kwa miaka 20 Ronaldo ndiye Mchezaji bora wa Ureno wa muda wote mbele ya Eusebio na Luis Figo japo kwa sasa Mashabiki wanataka apumzike apishe damu changa

11 Oct . 2024