Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Waethiopia waitesa uhamiaji Tanzania

Thursday , 24th May , 2018

Afisa Uhamiaji mkoa wa DSM,Chrispine Ngonyani amebainisha raia kutoka nchi ya Ethiopia wamekuwa wakiwasumbua idara ya uhamiaji nchini kwani kila mara wanapokamatwa wahamiaji haramu wao huwa ni wengi zaidi.

Bw. Ngonyani amezungumza hayo wakati akitoa taarifa za utendaji kazi wa idara hiyo kwa wanahabari ambapo amesema kuwa tatizo la raia kutoka Ethiopia siyo  tu kwa uhamiaji Dar es salaam bali nchi nzima wanakumbana nalo.

"Raia wa Ethiopia wanatusumbua sana yaani kila tukikamata watuhumiwa kwa wingi, basi unakuta ni waethiopia ambao hawapungui 50 hadi 80 hilo ndo kundi la watu wanaotusumbua sana Idara ya Uhamiaji mkoa wa Dar es salaam" amesema.

Pamoja na hayo Bw. Ngonyani ameeleza kuwa idara hiyo kwa kipindi cha mwezi Januari 2018 hadi Mei 24, 2018 wameafanikiwa na kuwafikisha mahakamani watuhumiwa 602 ambapo kari yao watuhumiwa 227 walikuwa raia wa Ethiopia na kati ya mashauri 118 yaliyofunguliwa Mahakama ya Kisutu raia wa Ethiopia walikuwa 214 na kati ya mashauri yaliyomalizika yalikua 99 na kati ya watuhumiwa 341 raia wa Ethiopia walikuwa 218.

Mbali na hayo Afisa huyo amesema Idara imefanikiwa kuingiza faini ya shilingi Milioni 121.5 na kati watuhumiwa waliofungwa ni 187 na mashauri yanayoendelea mahakamani ni 73 huku raia 28 wakupewa oda ya kurudishwa kwao.

HABARI ZAIDI

Mkuu wa mkoa wa Songwe Daniel Chongolo

Wanafunzi 194 washika mimba ndani ya mwezi mmoja

Mabaki ya gari aina ya Noah iliyopata ajali Morogoro

Ajali yachukua uhai wa watu saba Morogoro

Waziri wa Fedha Dkt. Mwigulu Lameck Nchemba

Wawekezaji wawekeze sekta za uzalishaji - Nchemba

Muonekano wa Kiburugwa ambako Nyumba zaidi ya Tisa Zimebomolewa na Maporomoko ya Tope

Maporomoko ya udongo yasomba nyumba 9 Mbagala

Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Mhe. Dkt. Doto Biteko

Serikali yaipongeza Red Cross

Waziri wa TAMISEMI Mohamed Mchengerwa

Aonya wanaochangia watumishi kutopanda madaraja

Edgar Lungu, Rais wa Zamani Nchini Zambia Akitembea Kuzunguka Mji Mkuu wa Lusaka

Rais wa zamani Zambia Bw. Lungu hatarini kukamatwa