Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

"Vita ni vita mura"- Esther Bulaya

Tuesday , 13th Feb , 2018

Mjumbe wa Kamati Kuu ya CHADEMA na Mbunge wa Bunda, Mhe. Ester Bulaya ametangaza vita katika Jimbo la Kinondoni huku akiapia kwa Mungu wake kuwa atalinda kura za mgombea wao na lazima atangazwe mshindi kwa madai wamejipanga vilivyo.

Bulaya ametoa kauli hiyo zikiwa zimebakia takribani siku nne pekee kuelekea marudio ya uchaguzi mdogo katika majimbo ya Siha na Kinondoni ili wananchi wa maeneo hayo kupiga kura kwa mtu anayemuhitaji kuwa muwakilishi wake katika jimbo.

"Haki ya Mungu, Baba wa Taifa angekuwa hai angetoka CCM kwa sababu CCM ile sio hii ya sasa ambayo haifuati utaratibu, poleni wanaccm wenzangu wa zamani mmedharauliwa kwa kutoshiriki kura za maoni kumpata Maulid Mtulia. Baba wa Taifa alikuwa haendekezi vitu kama hivyo, lakini anafanya hivyo akiamini kabisa wanakinondoni mtachagua mgombea mnaemtaka halafu watatumia nguvu", amesema Bulaya.

Pamoja na hayo, Bulaya ameendelea kwa kusema "haki ya Mungu ngojeeni niwaambie hii ni 'game' ni sawa na 'Escape from Sobibor' yaani tunapiga kura, tunalinda kura na lazima mtu atangazwe. Sisi kule kwetu tunasema vita ni vita mura na nipo hapa lazima mtu atangazwe, polisi wananisikia yaani mara mia wao wahamishe kituo chao lakini sisi mtu wetu lazima ashinde.  Tumerudi kwa kujipanga".

Kwa upande mwingine, Bulaya amewataka wananchi wa jimbo hilo kutorudia kosa kwa kumchagua mtu ambae atawarudisha tena kwenye sakata la uchaguzi kama ilivyokuwa sasa.

HABARI ZAIDI

Bashiri Mohamed (35) Mwenye Koti Jeusi akiwa anafikishwa Mahakamani Ilemela, Jijini Mwanza

Aliyezini na binti yake apandishwa kizimbani

Wilman Kapenjama Ndile, Mkuu wa Wilaya ya Songea

DC Kapenjama ataka uaminifu kwa wakulima Songea

Kassim Majaliwa, Waziri Mkuu wa Tanzania

Wanahabari wasisitizwa kuzingatia maadili ya kazi

Wilman Kapenjama Ndile, Mkuu wa Wilaya ya Songea

DC atangaza msako kuwaondoa walinzi wazee kazini

Rose Senyagwa, Mchambuzi wa Masuala ya Hali ya Hewa kutoka TMA

Kimbunga "IALY" kinazidi kusogea Pwani ya bahari