Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Morogoro na Manyara bado vinara wa kipindupindu

Monday , 18th Jan , 2016

Halmashauri za wilaya za Morogoro na Manyara zaongoza kwa kuwa na idadi kubwa ya wagonjwa wa kipindupindu katika
kipindi cha wiki moja iliyopita.

Waziri wa Afya, Ummy Mwalimu

Wizara ya Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto nchini Tanzania imesema bado Halmashauri za wilaya za Morogoro na Manyara zinaongoza kwa kuwa na idadi kubwa ya wagonjwa wa kipindupindu katika kipindi cha wiki noja iliyopita.

Akiongelea hali ya ugonjwa huo nchini hii leo jijini Dar es salaam, Kaimu Katibu Mkuu wa wizara hiyo, Michael John amesema ugonjwa huo bado una idadi kubwa ya wagonjwa ukilinganisha na halmasauri nyingine nchini.

Kwa upande wake, Mkurugenzi Huduma za Afya wa wizara hiyo, Dkt. Neema Rusibamayila akizungumzia hali ya ugonjwa huo Mkoani Dodoma juu ya taarifa ya kuwepo kwa ugonjwa huo katika hospitali ya wagonjwa wa akili ya Mirembe amesema hawana uhakika kutokana na kupokea taarifa za halmashauri pekee.

Naibu katibu mkuu wa wizara ya Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI), Deo Mtasiwa amesema tayari halmashauri zote nchini zimetakiwa kufanya jihitada za kukabiliana na kuongezeka kwa wagonjwa

HABARI ZAIDI

Bajaji iliyotumika kubeba dawa za kulevya

Mtuhumiwa wa dawa za kulevya na mauaji mbaroni

Profesa Adolf Mkenda, Waziri wa Elimu, Sayansi na Teknolojia

Mkakati mpya wa kuajiri walimu watangazwa Tanzania

Naibu Katibu Mkuu, Wizara ya Fedha, Bi. Amina Khamis Shaabani, akiagana na Waziri wa Kodi wa Denmark, Mhe. Jeppe Bruus, baada ya kikao kando ya Mikutano ya Mwaka 2024 ya Bodi ya Magavana (Mawaziri wa Fedha kutoka nchi wanachama) wa Benki ya Maendeleo ya Afrika (AfDB), Jijini Nairobi nchini Kenya.

Tanzania & Dernmark zitaboresha ya mifumo ya kodi

Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Mheshimiwa January Makamba

Ziara ya Rais Samia Korea kuanza rasmi Mei 31 2024

Bw. Nazar Nicholas (katikati) akikabiziwa tuzo ya WSIS 2024

Tanzania yashinda Tuzo WSIS 2024, nchini Uswisi