Ndumbaro achukua fomu Songea Mjini

Waziri wa Katiba na Sheria ambaye pia ni Mbunge wa Jimbo la Songea Mjini, Dkt. Damas Ndumbaro, leo tarehee 30/6/2025 ameongozana na mke wake kufika katika Ofisi ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) Manispaa ya Songea kuchukua fomu ya kugombea nafasi ya ubunge kwa kipindi kingine kupitia tiketi ya

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS