Kwenye hili Lebron James aliona mbali sana
Mwaka 2011, LeBron James alifanya uwekezaji kwa kununua 2% ya hisa za klabu ya Liverpool kwa thamani ya Dola Milioni 6.5 (takriban TSh Bilioni 16.7) wakati huo, klabu nzima ilikuwa na thamani ya Dola Milioni 325 tu.

