Ndumbaro achukua fomu Songea Mjini
Waziri wa Katiba na Sheria ambaye pia ni Mbunge wa Jimbo la Songea Mjini, Dkt. Damas Ndumbaro, leo tarehee 30/6/2025 ameongozana na mke wake kufika katika Ofisi ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) Manispaa ya Songea kuchukua fomu ya kugombea nafasi ya ubunge kwa kipindi kingine kupitia tiketi ya