Leo hii, thamani ya Liverpool imepanda hadi kufikia Dola Bilioni 4.8 (takribani TSh Trilioni 12.3) Hii inamaanisha kuwa zile hisa za LeBron zimepanda thamani kutoka Milioni 6.5 hadi kufikia Dola Milioni 96, Kwa Shilingi ya Tanzania ni takriban Bilioni 247.6
Uwekezaji wa LeBron umeongezeka mara 15 zaidi ya kiasi alichoweka awali, na akiwa mwanahisa pia wa Kampuni Mama ya FSG inayomiliki karibu asilimia 80 ya Klabu hiyo.



