"Domayo, Kavumbagu si mwisho wa Yanga"

Baadhi ya Mashabiki wa Yanga wakiwa makao makuu ya klabu hiyo Jangwani Jijini DSM

Uongozi wa klabu ya Yanga umesema kuondoka kwa wachezaji wao wawili Didier Kavumbagu na Frank Domayo sio mwisho wa timu hiyo na unaendelea na mipango ya kuhakikisha inasajli wachezaji wengine wazuri zaidi

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS