Baadhi ya Mashabiki wa Yanga wakiwa makao makuu ya klabu hiyo Jangwani Jijini DSM
Uongozi wa klabu ya Yanga umesema kuondoka kwa wachezaji wao wawili Didier Kavumbagu na Frank Domayo sio mwisho wa timu hiyo na unaendelea na mipango ya kuhakikisha inasajli wachezaji wengine wazuri zaidi