Rais Kikwete atwaa tuzo ya kiongozi bora Afrika Rais wa Tanzania Dkt Jakaya Mrisho Kikwete Rais wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Jakaya Kikwete ametunukiwa tuzo ya African Most Impactful Leader of the year na taasisi ya uchapishaji ya African Leadership Magazine ya nchini Marekani. Read more about Rais Kikwete atwaa tuzo ya kiongozi bora Afrika