Vijana wametakiwa kujituma kwa kujiajiri wenyewe
Vijana mkoani Arusha nchini Tanzania wametakaiwa kuacha kupoteza muda mwingi kwenye mijadala ya kutafuta njia za mkato za kurahisisha maisha, badala yake watumie muda na fursa zilizopo kufanya kazi za uzalishaji.

