Polisi yakamata zaidi ya pikipiki 600

Mkuu wa polisi kanda maalumu ya Dar es Salaam, kamishna wa polisi Suleiman Kova.

Jeshi la polisi kanda maalum ya Dar es salam nchini Tanzania limekamata pikipiki 668 zinazotiliwa mashaka na kuzikagua, na zile ambazo zitabainika kutumika katika ujambazi hatua kali zitachukuliwa dhidi yao.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS