Namubiru ahofia kuirudia Ndoa
Baada ya muda kupita tokea msanii wa muziki Iryn Namubiru alipotengana na baba watoto wake, raia wa Ufaransa Frank Morell, staa huyu kutoka nchini Uganda amesema kuwa hayupo tayari kujiingiza katika mahusiano mengine rasmi na mwanaume kwa sasa.