Wanasiasa chanzo migogoro ya ardhi-DC Korogwe Mkuu wa wilaya ya Korogwe mkoa wa Tanga nchini Tanzania Mrisho Gambo Migogoro mingi ya ardhi nchini Tanzania imedaiwa kusababishwa na wanasiasa ambao huchochea wananchi kwa faida na malengo yao ya kisiasa. Read more about Wanasiasa chanzo migogoro ya ardhi-DC Korogwe