Stars kurudi tena Tukuyu kuiwinda Msumbiji

Kikosi cha stars muda mfupi kabla yakuivaa Msumbiji katika mchezo ulioishia kwa sare ya bao 2-2.

Baada ya kulazimishwa sare ya bao 2-2 na Msumbiji katika mchezo wa kwanza wa raundi ya pili ya michuano ya awali yakuwania tiketi ya kucheza fainali za mataifa ya afrika timu ya taifa ya Tanzania taifa stars inataraji kuingia kambini wiki hii

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS