Nyumba Nne zachomwa moto kwa tuhuma za ushirikina

Sehemu ya nyumba zilizoharibiwa na wakazi wa Uvinza

watu 15 wanashikiliwa na polisi wilayani Uvinza mkoani Kigoma kwa kufanya uharibifu wa nyumba na mali wakimtuhumu mwanafamilia mmoja wa nyumba hizo kwa ushirikina.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS