KORA wamtunuku Diamond

Msanii wa muziki Diamond Platnumz, amepatiwa cheti cha kutambua mafanikio yake, "A Certificate of Achievement" na waratibu wa Tuzo za muziki Afrika za Kora, kutokana na zoezi walilokuwa wakiliendesha mtandaoni kutambua wasanii barani Afrika.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS