Mudigi avamia fani ya uigizaji

Msanii wa muziki Delvin Mudigi nchini Kenya

Msanii Delvin Mudigi kutoka kundi la Sauti Sol ameonesha upande mwingine wa kipaji chake katika tasnia ya burudani, na hii ni kwa upande wa uigizaji kupitia ushiriki wake katika tamthilia maarufu inayokwenda kwa jina Veve ya huko Kenya.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS