WaTZ watano kuwania tuzo J'mosi
Tuzo za muziki za Afrika za Jarida la African, zinatarajiwa kufanyika Jumamosi ya Tarehe 26 mwezi huu, ambapo wasanii Diamond Platnums, Lady Jay Dee, Ben Pol, Mrisho Mpoto na Sheddy Clever wamechaguliwa kuwania katika vipengele tofauti.

