WaTZ watano kuwania tuzo J'mosi

Tuzo za muziki za Afrika za jarida la African Afrimma

Tuzo za muziki za Afrika za Jarida la African, zinatarajiwa kufanyika Jumamosi ya Tarehe 26 mwezi huu, ambapo wasanii Diamond Platnums, Lady Jay Dee, Ben Pol, Mrisho Mpoto na Sheddy Clever wamechaguliwa kuwania katika vipengele tofauti.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS