Serikali yatakiwa kudhibiti matumizi ya Fedha Gavana wa Benki Kuu ya Tanzania BOT Bw. Beno Ndulu Gavana wa Benki ya Tanzania BOT Prof. Beno Ndullu ameitaka serikali kutokuwa na matumizi yatakayosababisha kumaliza akiba ya fedha zilizopo kwa kuwa kunaweza kusababisha nchi kushindwa kukopesheka. Read more about Serikali yatakiwa kudhibiti matumizi ya Fedha