Tuko tayari kuzalisha saruji sasa - Dangote
Aliko Dangote amemwambia Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Jakaya Mrisho Kikwete kuwa ujenzi wa kiwanda cha saruji kikubwa kuliko vyote Tanzania unakamilika na kuwa Rais ataombwa kukifungua Agosti mwaka huu.