Tatizo la maji Dar es Salaam kupatiwa ufumbuzi.

Wajumbe wa Kamati ya Ufundi ya Bodi ya Mamlaka ya Maji Safi na Maji Taka Dar es salaam (DAWASA) wakiangalia maungio ya mradi wa bomba jipya.

Wakaazi wa Jiji la Dar es salaam wameombwa kuwa na matumaini baada ya kukamilika kwa miradi ya maji katika mtambo wa Ruvu Juu na Ruvu Chini, hali itakayosaidia kuondoa kero ya maji iliyokuwa ikiwakabili wakaazi wa jiji hilo kwa muda mrefu.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS