Stars yafumuliwa na Misri 3-0 kuwania kufuzu AFCON Timu ya Taifa ya Tanzania, Taifa Stars imeanza vibaya mechi za Kundi G kufuzu Fainali za Mataifa ya Afrika 2017 baada ya kufungwa mabao 3-0 na Misri usiku wa jana mjini Alexandria. Read more about Stars yafumuliwa na Misri 3-0 kuwania kufuzu AFCON