Aliyeuliwa na Polisi Njombe, chanzo ni deni

Baadhi ya wananchi wakiwa wamefunga barabara baada ya kudai mwenzao mmoja ameuwawa kwa makusudi na Polisi

Baba mdogo wa marehemu anayedaiwa kuuwawa kwa kupigwa na risasi na askari Polisi amesema chanzo cha kifo cha mwanae Basi Mwalongo ni kuwa alikuwa anamdai askari huyo na kuitaka serikali ihakikishe inambana mtuhumiwa ili aeleze chanzo.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS