Mmoja wa Wananchi waliojitokeza kujiandikisha katika Daftari la Kudumu la Mpiga kura kwa mfumo wa BVR.
Zoezi la uandikishaji wananchi kwenye daftari la kudumu la wapiga kura katika kata ya Ruaha manispaa ya Iringa linaendelea vizuri ambapo linatarajiwa kukamilika kesho.