MOAT yapinga Muswada wa haki ya kupata habari

Wakati wadau wa habari wakikutana leo na kamati ya Bunge wakitaka miswada miwili ya habari isijadiliwe bungeni, chama cha wamiliki wa vyombo vya habari nchini MOAT kimesema kupitia miswada hiyo serikali  itavinyima vyombo vya habari uhuru.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS