Rais Kikwete afanya uteuzi na uhamisho wa ma-DC

Elizabeth Chalamila Mkwasa amehamishwa kutoka Wilaya ya Dodoma kwenda Wilaya ya Mvomero,

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Jakaya Mrisho Kikwete amemteua Bwana Anthony Peter Mavunde kuwa Mkuu wa Wilaya ya Mpwapwa, Mkoa wa Dodoma, kuanzia leo, Jumatatu, Mei 25, 2015.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS