Wanasiasa watakiwa kuwa na ajenda uhifadhi utalii

Afisa Habari wa Tanapa ,Pascal Shelutete wakati akizindua kampeni ya kuhamasisha utalii wa ndani

Kuelekea kipindi cha uchaguzi mkuu nchini utakaofanyika Oktoba 25 mwaka huu, wanasiasa nchini wametakiwa kuwa na ajenda za kulinda na kutetea uhifadhi ili kuwa na utalii endelevu kwa manufaa ya wananchi na taifa kwa ujumla.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS